Africa Matters

Temeke kumenoga:  Akili ya Pesa Challenge

Na Maida Waziri, Temeke, Dar es Salaam 12  July, 2022 Ndugu zangu, Tunapoleta  shindano la Akili ya Pesa Challenge katika wilaya yetu ya Temeke  tumelenga kuhakikisha kwamba vijana wanatumia  msuli  wa wilaya yetu kuvuna hela kiuendelevu. Hii maana yake  tunategengeneza  uelewa kuhusu fursa zilizopo katika wilaya hii ambazo ni za aina ya pekee. Ndio! huo ndio ukweli wa Temeke!…

Read More

EQUITY BANK GROUP KUWEKEZA TRILIONI 13

 08 Jun, 2022 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Lawrence Mafuru (kulia), akizungumza na Viongozi wa  Equity Bank Group Bw. Brent Malay (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji (Tanzania) , Bi. Isabela Maganga,  Jijini Dodoma. Na Benny Mwaipaja, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru, ameihakikishia Benki ya Equity Group kwamba Serikali iko tayari kushirikiana na…

Read More

Emirates restores flights to 5 African countries

Emirates has resumed passenger operations between Dubai and five African countries starting from 29 January 2022, offering customers more choice, superior value and enhanced connectivity to and through Dubai. UAE writes Hadi Sirika over NCAA’s action against Emirates Airline. The significant restoration of services will include Addis Ababa, Ethiopia; Dar Es Salaam, Tanzania; Nairobi, Kenya; Harare, Zimbabwe; Emirates’ three…

Read More

Museveni: It is ‘obvious’ Africa deserves permanent seat at UN

A United Nations Security Council meeting in New York in August 2019. PHOTO | AFP Ugandan President Yoweri Museveni on Thursday asked African countries not to accept anything less at the UN Security Council reforms, until the continent is granted at least two permanent seats. And speaking to a group of Foreign ministers from across the continent, the Ugandan…

Read More

Five things you should know about Ngugi wa Thiong’o, one of Africa’s greatest writers

Kenyan author Ngugi Wa Thiong’o shows his newly released book “Wizard of the Crow” during launch at a Nairobi bookshop. Kenya’s most celebrated author Ngugi wa Thiong’o turned 84 on January 5. Having published his first novel – Weep Not Child – in 1964, Ngugi remains active in writing and teaching. His latest creative effort is Kenda Muiyuru (The…

Read More

Launch of 2022 nominations for the Africa Food Prize

Nominations Open for the Africa Food Prize 2022 Nairobi, KENYA.  The Africa Food Prize committee is pleased to announce the launch for 2022 nominations for the Africa Food Prize. The Africa Food Prize is the preeminent award recognizing an outstanding individual or institution that is leading the effort to change the reality of farming in Africa—from a struggle to…

Read More

Ethiopia lashes out at WHO chief for Tigray war remarks

Tedros said Ethiopia was preventing medicines and other life-saving aid from reaching civilians in Tigray Ethiopia has asked the UN health agency to investigate its chief Tedros Adhanom Ghebreyesus for “harmful misinformation” and “misconduct”, accusing him of backing rebels in his native war-torn Tigray region. Tedros — the highest-profile Tigrayan abroad — this week described conditions in the Ethiopian…

Read More

Insecurity will become history in Nigeria soon -CDS

The Chief of Defence Staff, Lucky Irabor, has said the security threats being experienced in the country will soon become history. Irabor, who admitted that the insecurity was a challenge to the country, stated that the challenges were not much compared to the past. Irabor stated this during the National church service to mark this years’ Armed Forces Remembrance…

Read More

This will be South Sudan’s hungriest year ever, experts say

© Provided by Associated Press Nyayiar Kuol holds her severely malnourished 1-year-old daughter Chuoder Wal in a hospital run by Medicines Sans Frontieres (Doctors Without Borders) in Old Fangak in Jonglei state, South Sudan Tuesday, Dec. 28, 2021. Aid groups say more people than ever in the country will face hunger this year, because of the worst floods in 60…

Read More

Egypt closes two Mediterranean ports because of bad weather

© Reuters/AMR ABDALLAH DALSH Container trucks stand in line on the road due to bad weather in the Mediterranean city of Alexandria CAIRO (Reuters) – Egypt closed the two Mediterranean ports of Alexandria and Dekheila on Monday as a result of bad weather, the Alexandria Port Authority said in a statement. The ports will remain closed until the weather improves,…

Read More

Second Sudanese protester dies after Sunday protest – medics

© Reuters/MOHAMED NURELDIN ABDALLAH Protesters march during a rally against the military rule following last month’s coup, in Khartoum. KHARTOUM (Reuters) – A second protester in Sudan has died after being hit in the head with a tear gas canister in anti-military rule protests, medics said on Monday. This brings the death toll from Sunday’s protest to two, and from…

Read More

Political dynasties fueling crises in Africa, analysts say

© Metin Aktas/Anadolu Agency/picture alliance Kenyan President Uhuru Kenyatta is son of Jomo Kenyatta, the founding president of the East African nation. Political dynasties are not new, with families grooming and later handing over power to their offspring. However, analysts say this practice is detrimental to African countries.There are several examples of political dynasties in Africa, including the Moi family,…

Read More

UN convention publishes Nigeria’s low emission vision document

The United Nation’s Convention for Climate Change has published Nigeria’s 2050 Long-Term Low Emission Vision document, the Federal Government announced on Sunday. The Minister of State for Environment, Sharon Ikeazor, said the Long-Term Low Emission Vision document was a demonstration of Nigeria’s commitment to play a leading role in the implementation of the Paris Agreement.Lagos Motor Park, Nigeria. (Photo…

Read More

32 Somali Migrants Assisted to Return Safely from Libya

Currently, there are nearly 6,000 Somali migrants in Libya GENEVA, Switzerland, The International Organization for Migration (IOM), through its Voluntary Humanitarian Return (VHR) programme, facilitated the safe return of 32 Somali migrants in November 2021. “Currently, there are nearly 6,000 Somali migrants in Libya, many of whom are still stranded.” said Federico Soda, Chief of Mission, IOM Libya. “The…

Read More

UNITAMS Statement on Violence in Darfur Region

Reports indicate that scores of people have been killed and many others injured in fighting between Arabs and Misseriya Jebel KHARTOUM, Sudan, – UNITAMS is gravely concerned by the significant rise in tribal and intercommunal violence, resulting in the unfortunate loss of civilian lives and livelihoods, most recently in Tawila, Dar Es Salam and Sortoni, Kabkabiya localities of North…

Read More

Statement by UNICEF Eastern and Southern Africa Regional Director Mohamed M. Malick Fall following bombing in Mogadishu, Somalia

UNICEF calls on all parties to uphold the safety of children and protect them from violence NAIROBI, Kenya, November 26, 2021. “At least 13 school children and four school staff are among dozens reported to have been injured when a bomb detonated near a school in Mogadishu, Somalia in the early hours of Thursday morning. The blast is said…

Read More

FIFA Supports World Health Organization 16-day Campaign to Raise Awareness on Domestic Violence

Violence against women remains devastatingly pervasive and starts alarmingly young, according to data from WHO ZURICH, Switzerland,– FIFA (www.FIFA.com) and the World Health Organization have teamed up to raise awareness about domestic violence and support those at risk, during the 16 days of activism against gender-based violence. The campaign kicks off during today’s International Day for the Elimination of…

Read More

Malnutrition, Malaria and Mass Displacement on the Rise as South Sudan Suffers the Worst Floods in Decades MSF are also calling for an immediate scale up from other NGOs, the United Nations, the Ministry of Health and the government of South Sudan, with increased food and nutrition assistance, water and sanitation services, shelter and health services GENEVA, Switzerland, —780,000…

Read More

Kushindwa kutambua na kushawishi uwapo wa viwanda vidogo vya kisasa vya chini vya majumbani (home based industries), kumekuwa chanzo cha changamoto ya mwendo goigoi wa ukuaji wa uchumi – Maida Waziri

Presentation CBE, Dodoma Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimefurahi sana kualikwa katika hadhara hii kuzungumza kuhusu ujasiriamali. Wakati nazungumza huo ujasiriamali nitaunganisha na Waraka Maalumu wa ushauri wa kisera kuhusu Viwanda vidogo vya chini vya majumbani ambao niliuwasilisha Serikalini. Waraka huu niliuandika kutokana na uzoefu wangu wa miaka 30 ya ujasiriamali na kwa kuangalia kasi…

Read More

Maalim Seif alikuwa mtu wa kipekee Zanzibar

*Alikuwa wa pili kuanzia Rais Jumbe alipoachia madaraka, hadi kifo Na Anil KijaKIFO cha Seif Sharif Hamad, akiwa Makamu wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kimebadili sura ya siasa Visiwani humo kuwa ya kawaida zaidi. Kipindi cha siasa Visiwani kuanzia mwaka 1984, mwezi Aprili alipoondolewa madarakani Rais Aboud Jumbe Mwinyi na CCM, Maalim Seif amekuwa na…

Read More

Wakausha uke kuvutia mapenzi

    NCHINI Zambia kuna imani kwamba uke mkavu unaonesha  uaminifu wa mwanamke katika maisha  yake ya kike. Kutokana na hali hiyo wanawake wengi wamekuwa wakitumia mizizi kuondoa ute unaolainisha njia hiyo, ama kw akuingiza dawa hizo au kuzinywa. Pamoja  maamuzi hayo ambayo ni ya kibinfsui mno madaktari nchini hapa wamesema kwamba  utamaduni huo unaoshika kasi una hataraisha maihs…

Read More

Staa anyimwa ruhusa ya kufanya mapenzi

Mike Sorrentino hakutarajia alichoambiwa na wakuu wa jela kwamba hataona undani wa mkewe kwa miezi 8 zaidi ya kupigwa kisi wakati atakapokuwa jela. Ameambiwa na wahusika kwamba muda wote atakaokuwa ameketi huko jela hatapewa faragha ya aina yoyote ile wakati mkewe atakapofika hapo ikimaananisha kwamba hawawezi kungonoana na mke wake huyo ambaye wamefunga ndoa hivi karibuni. Mume huyo mpya…

Read More

Sauti Sol waahidi utupu wao Arsenal ikishinda kisha.. wagwaya

    Na Mwandishi wetu Sauti Sol wamewatoa nishai wapenzi wao baada ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapa zawadi ya picha za uchi kama Arsenal itaichapa Chelsea  Katika majibizano na wapenzi wao katika mtandao wakali hao walisema kwamba  Arsenal ikimtandika Chelsea basi watapiga picha za utupui na kuziposti. Katika kipute kilichopigwa Derby  Jumapili, Arsenal iliichapa Chelsea 2-0  na kuwaacha…

Read More

“Ni na ndoto ya kupeleka muziki wangu nchi zaidi ya 50”- mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi

  *Anatamba na wimbo wa u mwema *Anatarajia kuzindua albam yake mwakani   Na Mwandishi wetu, Mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi kutoka Tanzania, amesema ana maono makubwa, ya kutoa album mwaka huu, ambayao itamplekeka  zaidi ya nchi 50. Winnie alianza safari yake ya uimbaji nyimbo za injili rasmi mwaka jana tu, anatamba na wimbo wa U Mwema, unaofanya visuri nchini…

Read More

Tanzania music rules Kenya air waves, now they want to put Diamond Platnumz and King Kiba out of the picture

  Beginning of the end?  Kenyan media to put Diamond Platnumz and King Kiba music out of the picture? Will it work? Time will tell By Paul Kamau Nakuru based Hero Radio • 99.0 Fm @Hero_Radio has announced that “in the Spirit of Patriotism, we will start playing 90% Kenyan Music. Out of that percentage will do 60% nationwide music…

Read More

Waziri aliyewahi kuwa msiri wa Raisi Julius Nyerere amefariki dunia

 Tanzania: ALIYEWAHI kuwa mkuu wa wilaya tofauti hapa nchini wakati wa serikali ya awamu ya kwanza na baadaye kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ,Waziri Juma Waziri amefariki dunia akitibiwa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam Juzi na anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwao Sungwi baada ya swala adhuhuri. Kwa mujibu wa watu wa karibu na mzee Waziri, msiba upo…

Read More