Africa Matters

Biashara ya Kahawa mbichi yafifisha soko la kilimo hai

Biashara ya Kahawa mbichi yafifisha soko la kilimo hai Na Mariam Juma: Emiliana Eligaisha (70), mjane aishie anayetegemea zao ka kahawa huko Kituntu katika Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, amelalamikia wakulima wanaouza kahawa mbichi kwa kuchanganya na kavu kuwa wanaua soko. Akiishi katika kaya yenye ukubwa wa takribani ekari sita zilizosheheni miti ya kahawa, maharage, mahindi na migomba kwa…

Read More

Kilimo cha umwagiliaji salama ya familia maskini

Na Mariam Juma: “Nilishindwa kuendelea na masomo baada ya baba kufariki, mama akasema kilimo kitatusaidia nirudi shuleni, mama amelima na mvua hakuna na mazao yamenyauka nahisi ndoto za kurudi shuleni zimekatika,’’ alisema mtoto Fikiri Joachimu(9) mkazi wa kijiji cha Kibombo kata ya Nyakasana wilayani Karagwe mkoani Kagera. Ni mtoto mdogo, lakini unaona kwamba pamoja na udogo wake anafahamu kabisa…

Read More

Kilimo cha chikichi kikiendelezwa jibu kwa umaskini wa wakulima

Na Fadhili Abdallah: CHIKICHI ni moja ya mazao yenye soko kubwa hapa duniani na kama litatumiwa na kuendelezwa vizuri linaweza kuwa moja ya njia nzuri za kuwaondoa wakulima wadogo katika lindi la umasikini. Ipo mifano mingi ambayo inaonyesha kwamba nchi zilizotumia zao la chikichi ambalo hutumika kuzalisha mawese zimeweza kufanikiwa katika kuinua kipato cha wananchi wake na kusaidia kuingia…

Read More

Elimu dawa kukabili uduni kwenye soko na uzalishaji wa mpunga

Na Anna Ruhasha: TAKWIMU zinaonesha kwamba kuna tatizo kubwa la kutoa elimu kubadili wakulima wa mpunga hasa kwenye wilaya ya Kilombero. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa kati ya asilimia 80 ya wakulima waliopatiwa elimu ya uzalishaji ni asilimia 30.1 walionekana kuwa na mwelekeo wakati asilimia 49 hawana elimu ya uzalishaji . Aidha asilimia 30.1 ya wakulima waliopatiwa elimu…

Read More

Kuporomoka kwa bei ya mchele kunawaumiza wakulima

Na Anna Atugonza: Kuna msemo unaosema kufa kufaana. Msemo huu ambao unaangalia zaidi faida ya upande mmoja kwa madhara ya upande mwingine, unaonekana kuchukua mkondo katika kilimo cha mpunga mwaka huu. Hali hiyo inatokana na kuporomoka kwa bei ya mchele, ambayo ni faida kubwa kwa mlaji lakini ikiwa ni hasara kubwa kwa mkulima wa mpunga. Wadau katika sekta hii…

Read More

Volunteer at Jericho Orphanage Home

Jericho Orphanage Home, a non-governmental organization, with aim to empower children in need to become productive members of society through rehabilitation, education and self-reliance skills. ‘For children are a heritage from the Lord and they deserve the best’ Volunteers activities – Preparing food for the children and helping them eat. – General cleaning, washing dishes, etc. – Helping the…

Read More

Where are the Doctors?

DAR ES sALAAM: A total of 890 out of 2, 246 (equivalent to 39.6%) medical doctors in Tanzania are not practising clinical medicine. Also, only 964 out of the same total figure (equivalent to 42.9%) of graduate doctors were working full time in hospitals. Others were pursuing further studies, work in NGOs, health or non- health related institutions or…

Read More

Stakeholder’s applause AGRA for nursing changes in the agriculture

By Anthony Muchoki=: Prof. Sanchez who co-chairs the Hunger Task Force of the Millennium Project of the United Nations Millennium Development Goals observes that what rural African farmers need is empowerment. They need the right quantity and quality of fertilizer at the right time, credit support to enhance and expand their holdings, efficient crop processing capabilities to add value…

Read More

AfDB Board approves Usd 120 million financing for Nairobi road project

*Project to take 4 years; starting 2014; Complete road will reduce travel time from 45 to 15 minutes* NAIROBI, Kenya, November 19, 2013/ *– *The Board of the African Development Bank (http://www.afdb.org) on Wednesday November 13th approved US$120 million financing for the Nairobi Outer Ring road project which involves the improvement of the existing single carriageway road to a…

Read More

Operation Tokomeza should go on

Issued by Richard O Rugimbana Executive Secretary Tourism Confederation of Tanzania (TCT) Dar Es Salaam: Tourism Confederation of Tanzania (TCT), a Tourism Private Sector Apex body, appeals to the Government to reconsider its decision to suspend indefinitely the two month old Anti – Poaching Campaign – Operation Terminate (Operation Tokomeza) on grounds of human rights abuse and violation –…

Read More

Chance for Tanzanian youths with business ideas to get finance

Dar es Salaam: The Business Incubation and Investment Facility (BIIF) is designed T by t he Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED to support talented and ambitious youth with innovative business ideas to develop, launch and grow their enterprises. BIIF TARGET GROUP The BIIF targets youth (not older than 35 years) with ambition and talent to create and…

Read More

Mobile networks in Africa: Video accounts for less than 6% of traffic,

CAPE-TOWN, South-Africa, — Sandvine, (TSX:SVC) (http://www.sandvine.com) a leading provider of intelligent broadband network solutions for fixed and mobile operators, today released its Internet traffic trends report, entitled “Global Internet Phenomena Report 2H2013” ( https://www.sandvine.com/trends/global-internet-phenomena), based on data from a selection of Sandvine’s 250-plus service provider customers spanning North America, Europe, Middle East and Africa, Caribbean and Latin America and…

Read More

The 5th Africa Grain Trade Summit commitments

The EAGC – Africa Grain Summits have grown in leaps and bounds over the years. The summit is recognised at the highest levels as the only forum for addressing the challenges and expounding on the opportunities of grain trade among the private sector in Africa. EAGC was privileged to host key guests and dignitaries from Kenya and the EAC…

Read More

Tanzania gets a clean bill of health from IMF

A mission from the International Monetary Fund, led by Paolo Mauro, visited Dar es Salaam from October 23 to November 5, 2013; it conducted the biennial Article IV discussions, assessed performance under the Standby Credit Facility (SCF), and began discussions on a possible new Policy Support Instrument (PSI) program.1 The mission met with Hon. Dr. William Mgimwa, Minister of…

Read More