Africa Matters

Temeke kumenoga:  Akili ya Pesa Challenge

Na Maida Waziri, Temeke, Dar es Salaam 12  July, 2022 Ndugu zangu, Tunapoleta  shindano la Akili ya Pesa Challenge katika wilaya yetu ya Temeke  tumelenga kuhakikisha kwamba vijana wanatumia  msuli  wa wilaya yetu kuvuna hela kiuendelevu. Hii maana yake  tunategengeneza  uelewa kuhusu fursa zilizopo katika wilaya hii ambazo ni za aina ya pekee. Ndio! huo ndio ukweli wa Temeke!…

Read More

92-year-old Malawian music legend finds fame on TikTok

© Amos Gumulira Fame at 92: Malawian music legend Giddes Chalamanda has notched up millions of views on TikTok At 92, Giddes Chalamanda has no idea what TikTok is. He doesn’t even own a smartphone. And yet the Malawian music legend has become a social media star, with his song “Linny Hoo” garnering over 80 million views on the video-sharing…

Read More

Maalim Seif alikuwa mtu wa kipekee Zanzibar

*Alikuwa wa pili kuanzia Rais Jumbe alipoachia madaraka, hadi kifo Na Anil KijaKIFO cha Seif Sharif Hamad, akiwa Makamu wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kimebadili sura ya siasa Visiwani humo kuwa ya kawaida zaidi. Kipindi cha siasa Visiwani kuanzia mwaka 1984, mwezi Aprili alipoondolewa madarakani Rais Aboud Jumbe Mwinyi na CCM, Maalim Seif amekuwa na…

Read More

REMEMBERING SHAABAN ROBERT – WRITER, HUMANIST, PHILOSOPHER

REMEMBERING SHAABAN ROBERT – WRITER, HUMANIST, PHILOSOPHER       The name of Shaaban Robert (1909-1962) is appended with many epithets – a famous, prominent, the greatest, original, thinker, intellectual, classic, expert, founder, enlightener, father of Swahili language … And that is true of a great artist who dedicated his personal and unique talent as well as his multifaceted creative works…

Read More

Wakausha uke kuvutia mapenzi

    NCHINI Zambia kuna imani kwamba uke mkavu unaonesha  uaminifu wa mwanamke katika maisha  yake ya kike. Kutokana na hali hiyo wanawake wengi wamekuwa wakitumia mizizi kuondoa ute unaolainisha njia hiyo, ama kw akuingiza dawa hizo au kuzinywa. Pamoja  maamuzi hayo ambayo ni ya kibinfsui mno madaktari nchini hapa wamesema kwamba  utamaduni huo unaoshika kasi una hataraisha maihs…

Read More

Staa anyimwa ruhusa ya kufanya mapenzi

Mike Sorrentino hakutarajia alichoambiwa na wakuu wa jela kwamba hataona undani wa mkewe kwa miezi 8 zaidi ya kupigwa kisi wakati atakapokuwa jela. Ameambiwa na wahusika kwamba muda wote atakaokuwa ameketi huko jela hatapewa faragha ya aina yoyote ile wakati mkewe atakapofika hapo ikimaananisha kwamba hawawezi kungonoana na mke wake huyo ambaye wamefunga ndoa hivi karibuni. Mume huyo mpya…

Read More

Sauti Sol waahidi utupu wao Arsenal ikishinda kisha.. wagwaya

    Na Mwandishi wetu Sauti Sol wamewatoa nishai wapenzi wao baada ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapa zawadi ya picha za uchi kama Arsenal itaichapa Chelsea  Katika majibizano na wapenzi wao katika mtandao wakali hao walisema kwamba  Arsenal ikimtandika Chelsea basi watapiga picha za utupui na kuziposti. Katika kipute kilichopigwa Derby  Jumapili, Arsenal iliichapa Chelsea 2-0  na kuwaacha…

Read More

“Ni na ndoto ya kupeleka muziki wangu nchi zaidi ya 50”- mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi

  *Anatamba na wimbo wa u mwema *Anatarajia kuzindua albam yake mwakani   Na Mwandishi wetu, Mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi kutoka Tanzania, amesema ana maono makubwa, ya kutoa album mwaka huu, ambayao itamplekeka  zaidi ya nchi 50. Winnie alianza safari yake ya uimbaji nyimbo za injili rasmi mwaka jana tu, anatamba na wimbo wa U Mwema, unaofanya visuri nchini…

Read More

Tanzania music rules Kenya air waves, now they want to put Diamond Platnumz and King Kiba out of the picture

  Beginning of the end?  Kenyan media to put Diamond Platnumz and King Kiba music out of the picture? Will it work? Time will tell By Paul Kamau Nakuru based Hero Radio • 99.0 Fm @Hero_Radio has announced that “in the Spirit of Patriotism, we will start playing 90% Kenyan Music. Out of that percentage will do 60% nationwide music…

Read More

Waziri aliyewahi kuwa msiri wa Raisi Julius Nyerere amefariki dunia

 Tanzania: ALIYEWAHI kuwa mkuu wa wilaya tofauti hapa nchini wakati wa serikali ya awamu ya kwanza na baadaye kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ,Waziri Juma Waziri amefariki dunia akitibiwa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam Juzi na anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwao Sungwi baada ya swala adhuhuri. Kwa mujibu wa watu wa karibu na mzee Waziri, msiba upo…

Read More