Africa Matters

Staa anyimwa ruhusa ya kufanya mapenzi

Mike Sorrentino hakutarajia alichoambiwa na wakuu wa jela kwamba hataona undani wa mkewe kwa miezi 8 zaidi ya kupigwa kisi wakati atakapokuwa jela. Ameambiwa na wahusika kwamba muda wote atakaokuwa ameketi huko jela hatapewa faragha ya aina yoyote ile wakati mkewe atakapofika hapo ikimaananisha kwamba hawawezi kungonoana na mke wake huyo ambaye wamefunga ndoa hivi karibuni. Mume huyo mpya…

Read More

Sauti Sol waahidi utupu wao Arsenal ikishinda kisha.. wagwaya

    Na Mwandishi wetu Sauti Sol wamewatoa nishai wapenzi wao baada ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapa zawadi ya picha za uchi kama Arsenal itaichapa Chelsea  Katika majibizano na wapenzi wao katika mtandao wakali hao walisema kwamba  Arsenal ikimtandika Chelsea basi watapiga picha za utupui na kuziposti. Katika kipute kilichopigwa Derby  Jumapili, Arsenal iliichapa Chelsea 2-0  na kuwaacha…

Read More

“Ni na ndoto ya kupeleka muziki wangu nchi zaidi ya 50”- mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi

  *Anatamba na wimbo wa u mwema *Anatarajia kuzindua albam yake mwakani   Na Mwandishi wetu, Mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi kutoka Tanzania, amesema ana maono makubwa, ya kutoa album mwaka huu, ambayao itamplekeka  zaidi ya nchi 50. Winnie alianza safari yake ya uimbaji nyimbo za injili rasmi mwaka jana tu, anatamba na wimbo wa U Mwema, unaofanya visuri nchini…

Read More

Tanzania music rules Kenya air waves, now they want to put Diamond Platnumz and King Kiba out of the picture

  Beginning of the end?  Kenyan media to put Diamond Platnumz and King Kiba music out of the picture? Will it work? Time will tell By Paul Kamau Nakuru based Hero Radio • 99.0 Fm @Hero_Radio has announced that “in the Spirit of Patriotism, we will start playing 90% Kenyan Music. Out of that percentage will do 60% nationwide music…

Read More

Waziri aliyewahi kuwa msiri wa Raisi Julius Nyerere amefariki dunia

 Tanzania: ALIYEWAHI kuwa mkuu wa wilaya tofauti hapa nchini wakati wa serikali ya awamu ya kwanza na baadaye kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ,Waziri Juma Waziri amefariki dunia akitibiwa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam Juzi na anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwao Sungwi baada ya swala adhuhuri. Kwa mujibu wa watu wa karibu na mzee Waziri, msiba upo…

Read More